Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Vikao vya bunge vyarejelea huku uteuzi wa wanakamati za shughuli za bunge ukijadiliwa

Hatimaye vikao vya bunge vimerejelea leo hii kwa mara ya kwanza mwaka huu huku jukumu la kwanza likiwa kujadili uteuzi wa watakaokuwa wanachama wa kamati za shughuli za bunge katika Bunge la Kitaifa, vilevile la Seneti. Aidha masuala ya mgomo wa wauguzi na matatizo katika sekta ya kilimo yamejadiliwa.

Vikao vya Bunge la Kitaifa na Seneti viling'oa nanga mwendo wa saa nane unusu ilivyo desturi siku ya Jumanne huku jukumu la kwanza la mabunge hayo likiwa kujadili uteuzi wa watakaohudumu katika kamati za shughuli za bunge. Wabunge walioteuliwa kuhudumu katika nyadhifa hizo katika Bunge la Kitaifa ni Amos Kimunya wa Kipipiri, Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Turkana, Joyce Emanikor, Shadrack John Mose wa Kitutu Masaba na Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Meru, Kawira Mwangaza.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Bunge seneti