The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Hatimaye vikao vya bunge vimerejelea leo hii kwa mara ya kwanza mwaka huu huku jukumu la kwanza likiwa kujadili uteuzi wa watakaokuwa wanachama wa kamati za shughuli za bunge katika Bunge la Kitaifa, vilevile la Seneti. Aidha masuala ya mgomo wa wauguzi na matatizo katika sekta ya kilimo yamejadiliwa.
Vikao vya Bunge la Kitaifa na Seneti viling'oa nanga mwendo wa saa nane unusu ilivyo desturi siku ya Jumanne huku jukumu la kwanza la mabunge hayo likiwa kujadili uteuzi wa watakaohudumu katika kamati za shughuli za bunge. Wabunge walioteuliwa kuhudumu katika nyadhifa hizo katika Bunge la Kitaifa ni Amos Kimunya wa Kipipiri, Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Turkana, Joyce Emanikor, Shadrack John Mose wa Kitutu Masaba na Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Meru, Kawira Mwangaza.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.