The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Gavana wa Liakipia Nderitu Muriithi na Mbunge wa Shinyalu Justus Kizito wamepata afueni katika mahakama ya juu baada ya kesi zilizokuwa zikipinga ushindi wao kutupiliwa mbali. Katika kesi ya kwanza, Jaji Smokin Wanjala, amekataa madai ya mpinzani wa Gavana Muriithi Sammy ndung'u kwmaba kulikuwapo na udanganyifu wakati wa uchaguzi Mkuu wa Agosti mwaka 2017. Aidha amesema mlalamishi hakuwasilisha ushahidi wa kutosha kuiwezesha mahakama kutupilia mbali ushindi huo.
Hii ni mara ya tatu kwa Muriithi kudumisha ushindi wake kufuatia maamuzi ya mahakama. Awali Mahakama Kuu na ile ya Rufa ailitupilia mbali kesi iliyokuwa ikipinga ushindi wa Gavana kufuatia misingi hiyo hiyo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.