Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mahakama ya Juu imedumisha ushindi wa Gavana wa Laikipia na Mbunge wa Shinyalu

Gavana wa Liakipia Nderitu Muriithi na Mbunge wa Shinyalu Justus Kizito wamepata afueni katika mahakama ya juu baada ya kesi zilizokuwa zikipinga ushindi wao kutupiliwa mbali. Katika kesi ya kwanza, Jaji Smokin Wanjala, amekataa madai ya mpinzani wa Gavana Muriithi Sammy ndung'u kwmaba kulikuwapo na udanganyifu wakati wa uchaguzi Mkuu wa Agosti mwaka 2017. Aidha amesema mlalamishi hakuwasilisha ushahidi wa kutosha kuiwezesha mahakama kutupilia mbali ushindi huo.

Hii ni mara ya tatu kwa Muriithi kudumisha ushindi wake kufuatia maamuzi ya mahakama. Awali Mahakama Kuu na ile ya Rufa ailitupilia mbali kesi iliyokuwa ikipinga ushindi wa Gavana kufuatia misingi hiyo hiyo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Nderitu Shinyalu