The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Naibu wa Rais, William Ruto amemwagiza Waziri wa Fedha, Henry Rotich kuhakikisha majina ya idara zote za serikali ambazo hazijatimiza agizo la Rais Uhuru Kenyatta la kuweka wazi taarifa kuhusu kandarasi zinazotolewa na idara hizo, yanawasilishwa kwa Mkuu wa Utumishi wa Umma kwa kipindi cha siku thelathini zijazo.
Akihutubu wakati wa kongamano la kufanikisha mipango mbalimbali ya serikali linaloendelea jijini Nairobi, Ruto amesema agizo hilo lilitolewa kufuatia lengo la serikali kudumisha uwazi kuhusu namna inavyotekeleza miradi yake na ni sharti liheshimiwe.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.