Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Ruto asema kampuni ambazo haziweki wazi rekodi za kandarasi zitawajibishwa

Naibu wa Rais, William Ruto amemwagiza Waziri wa Fedha, Henry Rotich kuhakikisha majina ya idara zote za serikali ambazo hazijatimiza agizo la Rais Uhuru Kenyatta la kuweka wazi taarifa kuhusu kandarasi zinazotolewa na idara hizo, yanawasilishwa kwa Mkuu wa Utumishi wa Umma kwa kipindi cha siku thelathini zijazo.

Akihutubu wakati wa kongamano la kufanikisha mipango mbalimbali ya serikali linaloendelea jijini Nairobi, Ruto amesema agizo hilo lilitolewa kufuatia lengo la serikali kudumisha uwazi kuhusu namna inavyotekeleza miradi yake na ni sharti liheshimiwe.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics

Ruto