×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Twalib Mbarak atarajiwa kuapishwa rasmi kuanza kuhudumu katika EACC

Afisa Mkuu Mtendaji wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi, EACC, Twalib Mbarak leo hii anatarajiwa kuapishwa rasmi kuanza majukumu yake katika tume hiyo. Jaji Mkuu, David Maraga ataongoza uapisho huo katika Mahakama ya Juu.

Kuapishwa kwake kunajiri baada ya Bunge la Kitaifa mwaka uliopita kuidhinisha uteuzi wake. Mbarak anachukua hatamu za uongozi kutoka kwa Halakhe Waqo ambaye muda wake wa kuhudumu ulikamilika.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Mbarak EACC