×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Nchi hiyo ilipata uhuru wake kutoka taifa la Ubelgiji mwaka wa 1960.

Hatimaye Nchi ya  Kimedokrasi ya Kongo imepata Rais mpya baada ya miaka kumi na minane ya Rais Joseph Kabila. Mgombea wa upinzani Felix Tshisekedi ameibuka mshindi kwa kupata asilimia 38.57 ya kura zilizopigwa.

Ikumbukwe mwaka uliopita Rais Joseph Kabila aliahidi kujiuzulu na kukabidhi utawala kwa rais mwingine kwa amani. Aidha alipojiuzulu alimpigia debe Martin Fayulu ambaye amekuwa wa pili katika uchaguzi huo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics