×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Azma ya Ruto kuwania urais yaendelea kupigwa vita

Spika wa Bunge la Kaunti ya Nairobi, Beatrice Elachi amewakosoa wabunge wa eneo la Magharibi ya nchi wanaomuunga mkono Naibu wa Rais William Ruto kwenye azma yake ya kuwania urais 2022.

Akizungumza eneo la Lugari, Elachi ambaye kwa muda mrefu amekuwa mfuasi wa Ruto amelitaka eneo la Magharibi kubadili mawazo na kuanza kumtambua Musalia Mudavadi ili kumwezesha kuchukua hatamu za uongozi wa taifa ifikapo mwaka  2022.

Hata hivyo, amemrai Mudavadi kufanya kazi kwa karibu na serikali ya ilioko ili kuongeza nafasi yake ya kuliongoza taifa hili.

Katika siku za hivi karibuni Ruto amekuwa akiandamwa kisiasa na viongozi wanaopinga azma yake ya kuwania urais huku Naibu Mwenyekiti wa Chama cha Jubilee, David Murathe akiendeleza ukosoaji dhidi yake akisema hafai kuwania muhula mwingine wa uongozi kwani amehudumu sambamba na Rais Uhuru Kenyatta ambaye muda wake unakamilika.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Ruto 2022