Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mkurugenzi wa Kenya Pipeline kuondoka

Nairobi, Kenya,
?
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kenya Pipeline, Joe Sang amesema atajiuzulu baada ya muhula wake wa kuhudumu kukamilika mwezi Aprili mwaka ujao.
 
Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, Mwenyekiti wa kampuni hiyo, John Ngumi amesema amepokea na kukubali waraka wa Sang ambaye amefafanua kuwa kutokana na sababu za binafsi, hatawania muhula wa pili katika wadhifa huo.
 
Taarifa hiyo imejiri wakati uchunguzi unaendelezwa kubaini hasara ya shilingi zaidi ya milioni tano kati ya mwaka huu na uliopita.
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News