The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Kenya Pipeline, Joe Sang amesema atajiuzulu baada ya muhula wake wa kuhudumu kukamilika mwezi Aprili mwaka ujao.
Kupitia taarifa kwa vyombo vya habari, Mwenyekiti wa kampuni hiyo, John Ngumi amesema amepokea na kukubali waraka wa Sang ambaye amefafanua kuwa kutokana na sababu za binafsi, hatawania muhula wa pili katika wadhifa huo.
Taarifa hiyo imejiri wakati uchunguzi unaendelezwa kubaini hasara ya shilingi zaidi ya milioni tano kati ya mwaka huu na uliopita.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.