Uchaguzi wa kati ya muhula ukikamilika Marekani Mwanamke wa miaka 36 Ihlana Omar ametaeuliwa kuwa mwanamke wa kwanza wa asili ya Kisomali na wa kwanza wa dini dini ya Kiislamu kuchaguliwa katika bunge la Congress nchini humo.
Ihlana ambaye alikuwa mkimbizi baada ya vita kuibuka Somalia aliishi katika kambi la wakimbizi ya Dadaab humu nchini na familia yake kuanzia mwaka wa 1991 hadi 1995 kabla ya kuhamia Marekani, atawakilisha eneo la Minnesota, Minniapolis.