Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

mahakama ya Murang'a yatoa uamuzi kuwa wadhifa wa naibu spika wa bunge la kaunti hautambuliki kisheria

Baada ya mahakama ya Murang'a kutoa uamuzi kuwa wadhifa wa naibu spika wa bunge la kaunti hautambuliki kisheria mswada umewasiliswa bungeni kuweka wazi majukumu ya bunge la kaunti, ofisi ya Naibu Gavana na naibu spika ambayo kwa muda imetajwa kukosa maana na kuwatia tumbo joto wanaoshikilia nyadhifa hizo. Aidha mswaada huo utalenga kufafanua mbinu ya kuwaondoa wanachama wa bunge la kaunti, kuwekwa wazi mbinu na sababu anazotumia Gavana kumfuta au kuwaajiri wafanyakazi na maafisa wa kaunti, vilevile mfumo wa kuwaajiri maafisa hao. kikao hicho na kututayarishia taarifa hii.

Mswada huo umewasilishwa na Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, Aden Duale baada ya kupitishwa na bunge la seneti.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics