The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Baada ya mahakama ya Murang'a kutoa uamuzi kuwa wadhifa wa naibu spika wa bunge la kaunti hautambuliki kisheria mswada umewasiliswa bungeni kuweka wazi majukumu ya bunge la kaunti, ofisi ya Naibu Gavana na naibu spika ambayo kwa muda imetajwa kukosa maana na kuwatia tumbo joto wanaoshikilia nyadhifa hizo. Aidha mswaada huo utalenga kufafanua mbinu ya kuwaondoa wanachama wa bunge la kaunti, kuwekwa wazi mbinu na sababu anazotumia Gavana kumfuta au kuwaajiri wafanyakazi na maafisa wa kaunti, vilevile mfumo wa kuwaajiri maafisa hao. kikao hicho na kututayarishia taarifa hii.
Mswada huo umewasilishwa na Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa, Aden Duale baada ya kupitishwa na bunge la seneti.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.