×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mkataba wa kuidhinisha madaktari watiwa saini

Katibu Mkuu wa KMPDU Ouma Oluga katika kikao cha wanahabari cha awali. [Radio Maisha]

Madaktari 100 kutoka Cuba wanatarajiwa kuwasili nchini tarehe 28 mwezi huu. Mkataba utakao waidhinisha madaktari hao nchini umetiwa saini na Baraza la Magavana na Wizara ya Afya.

Akizungumzia mkataba huo, Mkurugenzi wa Kamati ya Kaunti ya Tharaka Nithi, Dakta Gichuyia Nthuraku ametetea hatua hiyo akisema madaktari hao watakuwa tu wasaidizi wala hawaji kuchukua nafasi za madaktari wa humu nchini.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in