The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mamlaka ya Kitaifa ya Uhifadhi wa Mazingira NEMA Jumanne tarehe 24 mwezi Aprili inatarajiwa kutekeleza agizo la kufungwa kwa kichinji cha Kiamaiko jijini Nairobi. NEMA imesema sababu ya kuchukua hatua hiyo ni uchafuzi wa Mto Nairobi kufuatia uchafu unaotoka kwenye kichinjio hicho. Serikali ya Kitaifa na ya kaunti imejitolea kuusafisha mto huo
Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa NEMA Evans Nyabuto, kichinjio hicho kitafungwa hadi kitakapozungatia kanuni zilizowekwa kuhusu utupaji taka. Shughuli ya kuusafisha Mto Nairobi ni mojawapo ya mikakati ya serikali hizo mbili kuboresha sura ya jiji la Nairobi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.