Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Mamlaka ya Kuhifadhi Mazingira NEMA kukifunga kichinjio cha Kiamaiko kufuatia uchafuzi wa Mto Nairobi

Mamlaka ya Kitaifa ya Uhifadhi wa Mazingira NEMA Jumanne tarehe 24 mwezi Aprili inatarajiwa kutekeleza agizo la kufungwa kwa kichinji cha Kiamaiko jijini Nairobi. NEMA imesema sababu ya kuchukua hatua hiyo ni uchafuzi wa Mto Nairobi kufuatia uchafu unaotoka kwenye kichinjio hicho. Serikali ya Kitaifa na ya kaunti imejitolea kuusafisha mto huo

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Mawasiliano wa NEMA Evans Nyabuto, kichinjio hicho kitafungwa hadi kitakapozungatia kanuni zilizowekwa kuhusu utupaji taka. Shughuli ya kuusafisha Mto Nairobi ni mojawapo ya mikakati ya serikali hizo mbili kuboresha sura ya jiji la Nairobi.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics