The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mahakama Kuu ya Embu imebatilisha ushindi wa Gavana wa Embu Martin Wambora. Akitoa uamuzi huo, jaji wa mahakama hiyo amesema kuwa ulikuwapo ukiukaji wa sheria za uchaguzi wakati wa shughuli ya kupigwa kwa kura hizo, hali iliyoathiri matokeo ya uchaguzi huo.
Aidha amemwagiza Wambora kulipia shulingi milioni tatu ambazo ni gharama ya kesi.
Kesi ya kupinga ushindi wa Gavana huyo iliwasilishwa na mshindani wake Lenny Kivuti.Wambora ni wa tatu kupoteza kiti chake kuafuatia uamuzi wa mahakama.?
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.