Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Ushindi wa Wambora wabatilishwa

Ushindi wa Wambora wabatilishwa
Caren Omae
Mahakama Kuu ya Embu imebatilisha ushindi wa Gavana wa Embu Martin Wambora. Akitoa uamuzi huo, jaji wa mahakama hiyo amesema kuwa ulikuwapo ukiukaji wa sheria za uchaguzi wakati wa shughuli ya kupigwa kwa kura hizo, hali iliyoathiri matokeo ya uchaguzi huo.
 
Aidha amemwagiza Wambora kulipia shulingi milioni tatu ambazo ni gharama ya kesi.
 
Kesi ya kupinga ushindi wa Gavana huyo iliwasilishwa na mshindani wake Lenny Kivuti.Wambora ni wa tatu kupoteza kiti chake kuafuatia uamuzi wa mahakama.?
 
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics