Kelele Takatifu bado ipo asema Moji Short Baba
Muziki umekuwa na mabadiliko mengi yanayoleta uchangamfu wa sanaa lakini pia kutia changamoto kwa kila msanii. Wasanii wengi wemekuwa wakijiunga makundi au bendi ili kufanikisha kazi nzuri zenye adhi ya kimataifa zaidi na kuwafikia mashabiki wao kwa urahisi.
Afrika Mashariki kuna makundi ya muziki kama vile Yamoto bendi ya Tanzania, High Pitch Band ya Kenya, Sauti Sol, H_Art The Band, Kelele Takatifu miongoni mwa nyinginezo. Africa Magharaibi kuna Psquare na kitu cha ajabu ni kuwa makundi mengi yameanza kusambaratika.