Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Kamati Maalum Kubuniwa ili kuthibiti mchezo wa kamare

Na ,carren Omae

Kamati Maalum Kubuniwa ili kudhiti mchezo wa kamare
Huku idadi ya Wakenya wanaoshiriki mchezo wa bahati nasibu yaani Betting ikiongezeka nchini, Bunge la Taifa linapendekeza kubuniwa kwa kamati maalumu itakayothibiti mchezo huo. Kiongozi wa Wengi katika Bunge la Kitaifa Adan Duale, amesema kamati hiyo itaangazia jinsi biashara hiyo inavyoendeshwa nchini, uhalali wake, wamiliki na iwapo wanalipia kodi ipasavyo.
Akiwasilisha mswada huo katika kikao cha bunge cha alasiri, Duale amelalamikia visa ambapo wanafunzi walio na umri wa chini wamekuwa wakijihusisha na mchezo huo suala ambalo amesema linaathiri shughuli zao za masomo.
Wabunge wengi waliochangia wameunga mkono kauli ya Duale huku wakisema huenda wengi wa wamiliki wamekuwa wakikwepa sheria hasa kuhusu ulipaji kodi na kuna haja ya kuthibitiwa.
Mbunge wa Budalangi Ababu Namwamba amesema wengi hasa wanafunzi wamekuwa waraibu wa mchezo wa betting, jambo ambalo huenda likaathiri jamii siku zijazo.
Mswada huo unatarajiwa kuwasilishwa rasmi bungeni ili kujadiliwa.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News