The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Na Mate Tongola NAIROBI, KENYA, Zaidi ya watoto milioni tatu walio chini ya umri wa miaka mitano katika kaunti kumi na tano watachanjwa dhidi ya ugonjwa wa kupooza, polio, kuanzia wiki ijayo.
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema hatua hiyo inalenga kudhibiti visa vya maambukizi nje ya mipaka ya Kenya. Chanjo hiyo itaanza kutolewa Jumatano hadi Jumamosi baada ya kuzinduliwa katika Hospitali ya Rufaa ya Isiolo.
Hatua hiyo inajiri baada ya ripoti ya utafiti wa kila miezi mitatu ya wizara hiyo kubainisha kuwa kaunti za Nairobi, Lamu, Tana River, Garissa, Wajir, Mandera, Marsabit, Isiolo, Samburu, Turkana, Pokot Magharibi, Trans Nzoia, Uasin Gishu, Bungoma na Busia zinakabiliwa na hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.