×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Watoto walio chini ya miaka mitano kupata chanjo dhidi ya polio

Na Mate Tongola
NAIROBI, KENYA, Zaidi ya watoto milioni tatu walio chini ya umri wa miaka mitano katika kaunti kumi na tano watachanjwa dhidi ya ugonjwa wa kupooza, polio, kuanzia wiki ijayo.
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema hatua hiyo inalenga kudhibiti visa vya maambukizi nje ya mipaka ya Kenya. Chanjo hiyo itaanza kutolewa Jumatano hadi Jumamosi baada ya kuzinduliwa katika Hospitali ya Rufaa ya Isiolo.
Hatua hiyo inajiri baada ya ripoti ya utafiti wa kila miezi mitatu ya wizara hiyo kubainisha kuwa kaunti za Nairobi, Lamu, Tana River, Garissa, Wajir, Mandera, Marsabit, Isiolo, Samburu, Turkana, Pokot Magharibi, Trans Nzoia, Uasin Gishu, Bungoma na Busia zinakabiliwa na hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics