Na, Beatrice Maganga
Baada ya shinikizo dhidi yake, hatimaye Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi, EACC Philip Kinisu amejiuzulu.Kwenye taarifa kwa vyombo vya habari, Kinisu anasema amemwandikia barua Rais kuhusu hatua yake ya kujiuzulu.