Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Diamond Platinamz kuwatumbuiza mashabiki wa Radio Maisha

Na, Beatrice Maganga

Mwanamziki wa nyimbo za Bongo, Diamond Platinamz siku ya Ijumaa  anatarajiwa katika kituo hiki cha Radio Maisha kuzungumza na kuwatumbuiza mashabiki wake, siku moja kabla ya kuelekea kwa tamasha ya kukata na shoka katika Chuo cha Meru Polytenchic.
Akizungumza mapema leo baada ya kuwasili nchini, mwanamziki huyo amewaahidi mashabiki wake tamasha ya kufana.
Aidha amesema sababu ya kuandaliwa kwa tamasha hizo katika Kaunti ya Meru ni kutoa fursa kwake kukutana na mashabiki wake waliyo maeneo mbalimbali ya nchi.  

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News