The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mwanamziki wa nyimbo za Bongo, Diamond Platinamz siku ya Ijumaa anatarajiwa katika kituo hiki cha Radio Maisha kuzungumza na kuwatumbuiza mashabiki wake, siku moja kabla ya kuelekea kwa tamasha ya kukata na shoka katika Chuo cha Meru Polytenchic.
Akizungumza mapema leo baada ya kuwasili nchini, mwanamziki huyo amewaahidi mashabiki wake tamasha ya kufana.
Aidha amesema sababu ya kuandaliwa kwa tamasha hizo katika Kaunti ya Meru ni kutoa fursa kwake kukutana na mashabiki wake waliyo maeneo mbalimbali ya nchi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.