AFC Leopards vs Muhoroni Youth

Timu ya AFC Leopards inaongoza kwenye jedwali ya ligi kuu nchini KPL kwa alama 13 baada ya kulaza timu ya Muhororni Youth kwa mabao mawili kwa moja kwenye mechi iliyosakatwa katika uga wa Nyayo. Mwanahabari Victor Ogalle amereejea kutoka uga huo na anatuandalia taarifa ifuatayo.