(Girl raped in police cells) Msichana abakwa katika seli

Mtazamaji hebu tafakari,umewasili katika kituo cha polisi kujieleza kuhusiana na kesi fulani halafu mukose kuelewana na polisi aliyekatika kituo wakati huo.. Kisha akubandike kwa shtaka kwamba amekushika na bangi akuweke ndani. Alafu muda usiokuwa mrefu atokea polisi mwengine akuahidi kukutoa seli lakini lazima ufanye naye ngono na bada kukuataa lakini aishie kukubaka, ndio masaibu yaliompata msichana mmoja katika kituo cha polisi cha Ruiru.