×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Gharama Ya Katiba

Takriban shilingi bilioni 6.588 zinahitajika kujaza pengo lililoko katika bajeti ya utekelezaji wa katiba mpya. Kati ya shilingi bilioni 6.87 zinazohitajika, ni shilingi milioni 282 pekee zilizoko. na huku wengi wakisubiri kwa hamu sherehe ya ijumaa, ni wazi kuwa iwapo fedha hizi hazitapatikana, basi utekelezaji wa katiba hii utakuwa ni ndoto tu. Esther Kahumbi anatuelezea mengi kuhusu bajeti hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics

Gharama Ya Katiba