Wauguzi wakubaliana na serikali kuhusu matakwa yao

News

Na Beatrice Maganga

Hatimaye Serikali, Chama cha Wauguzi, KNUN  na Baraza la Magavana zimetia saini makubaliano kuhusu matakwa ya wauguzi. Makubaliano hayo yameafikiwa baada ya mapema leo  wauguzi kuondoka katika mkutano wa kutafuta mwafaka.

Hata hivyo walirejea katika mkutano huo saa za adhuhuri.  Akizungumza wakati wa mkutano wa kutia saini makubaliano hayo, Waziri wa Afya Cleopa Mailu ametoa changamoto kwa madaktari kufuata mkondo huo wa wauguzi na kushiriki mazungumzo ili kupata suluhu.

Mwenyekiti wa Baraza la Magavana Peter Munya vilevile amewataka madaktari kurudi kazini kufuatia agizo lililotolewa jana na Mahakama ya Uajiri na Leba kuwataka wasitishe mgomo. 

Volleyball and Handball
Chumba back as KCB aim to reclaim continental title in Cairo
By AFP 22 hrs ago
Sports
Kenya's Munyao gets better of Bekele to win London Marathon
By AFP 1 day ago
Football
Arsenal thrash Chelsea 5-0 to open up Premier League lead
By AFP 1 day ago
Football
Inter Milan seal Scudetto in derby thriller with AC Milan