The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting,
digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading
multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and
international interest.
Watu kadhaa walijeruhiwa waandamaji walipokabiliana vikali na polisi karibu na uga wa Nou Camp [Courtesy]
Watu watano wamekamatwa na 46 kujeruhiwa baada ya waandamanaji wanaotaka uhuru wa jimbo la Catalonia kuwarushia mawe maafisa wa polisi wakati wa pambano la El Clasico baina ya Barcelona na Real Madrid ambalo awali lilikuwa limeahirishwa kwa hofu za kiusalama.
Watu kadhaa walijeruhiwa waandamaji walipokabiliana vikali na polisi karibu na uga wa Nou Camp mechi hio ikiendelea.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…