×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya's Bold Newspaper
★★★★ - on Play Store
Download Now

Polisi na waandamanaji wakabiliana wakati wa El Clasico [Picha]

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Watu kadhaa walijeruhiwa waandamaji walipokabiliana vikali na polisi karibu na uga wa Nou Camp [Courtesy]

Watu watano wamekamatwa na 46 kujeruhiwa baada ya waandamanaji wanaotaka uhuru wa jimbo la Catalonia kuwarushia mawe maafisa wa polisi wakati wa pambano la El Clasico baina ya Barcelona na Real Madrid ambalo awali lilikuwa limeahirishwa kwa hofu za kiusalama.

Watu kadhaa walijeruhiwa waandamaji walipokabiliana vikali na polisi karibu na uga wa Nou Camp mechi hio ikiendelea.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Sports
Sh11 B more to beat AFCON 2027 deadline
Sports
Universities raise the bar in KUSF games
By AFP 8 hrs ago
Sports
Ronaldo, 41, leads Portugal into his sixth World Cup
Sports
Kenya's Afcon dream is under threat as FKF officials fight