Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Chama cha ANC ki tayari kujiunga na vyama vingine vya upinzani

Na Sophia Chinyezi
Chama cha Amani National Congress, ANC ki tayari kujiunga na vyama vingine vya upinzani ili kubuni muungano thabiti.
Kiongozi wa chama hicho, Musalia Mudavadi amesema wamekuwa wakishauriana na baadhi ya vyama kuhusu suala hilo, ili kuhakikisha upinzani unashinda uchaguzi ujao.
Kadhalika amesema wako tayari kuwapokea viongozi wengine ambao watavihama vyama vyao, wakiwamo wale ambao hawajaridhishwa na chama kipya cha Jubilee.
Ameyasema hayo Ijumaa mjini Machakos baada ya mkutano wa pamoja wa Kamati Kuu ya Kitaifa na kundi la wabunge.

 

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News