×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Rais Uhuru Kenyatta apongezwa kwa uongozi bora

Na, Sophia Chinyezi

Viongozi wa Taasisi za Fedha wa mataifa mbalimbali ulimwenguni wamempongeza Rais Uhuru Kenyatta kwa mtazamo na uongozi bora ambao wanasema ni muhimu katika ukuaji wa bara la Afrika. Haya yanajiri huku Kongamano la Sita la Kimataifa la Tokyo Kuhusu Ustawi wa Bara Afrika TICAD, likianza.
Kiongozi wa Benki ya Dunia na African Development Bank, AFDB amesema sera za Kenya zilizoanzishwa na Rais Kenyatta zimeweka mazingira mazuri ambayo yamechangia uwekezaji, biashara kati ya mataifa ya Afrika, vilevile kuiwezesha Kenya kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika pakubwa.
Akihutubu mapema leo katika Ikulu ya Nairobi alikokutana na Waziri Mkuu wa Japan Shinzo Abe, Uhuru ameelezea imani yake kuwa kongamano hilo litaimarisha biashara, kujadili changamoto zinazowakumba Waafika pamoja na kuimarisha umoja barani humu.
Wajumbe zaidi ya elfu kumi, wakiwamo marais wa mataifa thelathini na matano wanahudhuria kongamano hilo katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano, KICC litakalokamilika Jumapili wiki hii.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902