Wafuasi wa aliyekuwa mbunge wa matuga Ali Chirau Mwakwere wamefanya maandamano kulalamikia kukosekana kwa zaidi ya majina elfu tano kwenye orodha ya majina ya wapiga kura walioandikishwa kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa eneo hilo.Kwa mengi zaidi huyu hapa mwanahabari wetu wa maswala ya pwani Agnes Penda.