Uchaguzi Ndogo Matuga

Wafuasi wa aliyekuwa  mbunge wa  matuga Ali Chirau Mwakwere   wamefanya  maandamano  kulalamikia kukosekana kwa zaidi ya majina elfu tano kwenye   orodha  ya majina ya wapiga kura walioandikishwa kupiga  kura katika uchaguzi mdogo wa eneo hilo.Kwa mengi zaidi huyu hapa mwanahabari wetu wa maswala ya pwani Agnes Penda.