×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Ni dhiki kwa bishara ya nyama ya ‘Punda’ nchini

Maisha yake Pauline Kiryali yalisimama wakati punda wake wawili waliibiwa kutoka Kakululo, Kaunti ya Kitui, na kwa kuwa yeye ni mama mzee na mwenye ulemavu, changamoto za kulea watoto watatu kupitia pesa iliyopatikana kutokana na biashara hiyo ndogo ya punda zikawa maradufu; ku? kia sasa, yeye hutegemea pakubwa msaada kutoka kwa majirani. “Niliamka asubuhi moja kukuta punda wangu hawapo, niliamua kuwatafuta, nilifuata nyayo zao ambazo zilinielekeza kwenye kona yakushoto zaidi ya shamba langu ambapo nilipata minofu ya punda hao, ngozi yao ilikuwa tayari ishatolewa,” alisimulia PAMBAZUKO.

“Nikachanganyikiwa bila kujua maisha yangu yangekuwaje bila punda hao ambao walikuwa nwananipatia riziki” anaongeza akisema kuwa punda ndio chanzo kikuu cha mapato yake. “Punda wangu walikuwa wakinisaidia kwa njia nyingi; kuyachota maji, kwa kilimo, kusa? risha mazao ya shamba kutoka shambani hadi sokoni; kazi yangu ilifanywa rahisi na punda wangu, “anaelezea akiomboleza kwamba maisha yake yamebadilika tangu wakati huo.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902