×
App Icon
The Standard e-Paper
Fearless, Trusted News
★★★★ - on Play Store
Download App

Atwoli ndiye mpasua mwamba wa 2022

Katibu mkuu wa vyama vya wafanya kazi nchini COTU Francis Atwoli.

Ishara ya mtego wa kutegana wa NASA ni dhahiri uliteguliwa punde tu baada ya Rais Uhuru Kenyatta na Raila Odinga kukumbatiana kwa busu la mkono wa kheri, almaarufu “hendisheki”.

Uhusiano mpya baina ya Rais wa Jamhuri na kinara wa upinzani ulizika kabisa katika kaburi la sahau maazimio ya ushirikiano wa vyama vya ANC (Musalia Mudavadi) na Ford Kenya (Moses Wetangula) ambao wote hawa wanajivunia kumchangia kura za urais Raila Odinga kipindi cha uchaguzi mkuu uliopita wa 2017.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in