HOJA ZA WAHARIRI PODCAST; Kura ya maamuzi itafanyika? Maendeleo ni ya kibaguzi? Mung'ou, Zubeida na Odeo wanachanganua
Published Jun. 03, 2021
00:00
00:00

Wakati wa maadhimisho ya Madaraka jijini Kisumu, Rais Kenyatta aliilaumu Idara ya Mahakama kwa maamuzi aliyotaja kuchelewesha utashi wa mwananchi na kuzidisha gharama, mfano kurudia uchaguzi. Je, anakandamiza uhuru wa mahakama? Suala jingine ni iwapo kura ya maamuzi itafanyika au la kwa kuzingatia kesi za kuipinga. Na je, Uhuru anatekeleza maendeleo kwa ubaguzi? Wahariri, Geoffrey Mung'ou, Zubeida Koome na Odeo Sirari wanachambua masuala haya.