Madharau kazini yanavunja moyo
Published May. 13, 2022
00:00
00:00

Vincent Oduor akumbuka jinsi alivyoathiriwa na ghasia za baada ya uchaguzi, kazi yake ya ushonaji kutumia cherahani ikiathirika pakubwa. Anakumbukwa jinsi mashine za ushonaji zilivyoibwa wakati wa ghasia hizo. Kwa sasa kazi yake inanawiri na anapata faida