Uchumi na Biashara Pocast: Gharama ya maisha; bidhaa bei ghali
Published Jun. 17, 2022
00:00
00:00

Wakenya wanaendelea kulalamikia ongezeko la bei za bidhaa ya kimsingi na kupanda kwa gharama ya maisha. Wengi wameamua kupunguza matumizi ya fedha kukiwamo kutembea badala ya kutumia magari au bodaboda na kula chakula mara moja kwa siku. Martin Ndiema amesema na Wakenya mjini Kitale.