Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Bob Njagi adai kutekwa nyara kwao kulipangwa na serikali ya Kenya

Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wakihutubia wanahabari Jijini Nairobi, Novemba 12, 2025. [Collins Oduor, Standard]

Mwanaharakati Bob Njagi amedai kuwa kutekwa nyara kwake pamoja na mwenzake Nicholas Oyoo nchini Uganda kulipangwa na serikali ya Kenya. Njagi ameeleza kwamba walikamatwa na kikosi cha kijeshi kinachofanya kazi chini ya uongozi wa Jenerali Muhoozi Kainerugaba wa Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF, huku akiongeza kuwa zaidi ya watu 150 wanazuiliwa bila kufikishwa mahakamani kwa sababu za kisiasa.

Akiwahutubia wanahabari, Njagi alisema kuna ushirikiano kati ya Kenya, Tanzania na Uganda katika kuwakandamiza wakosoaji wa tawala zao, jambo ambalo limeongeza hofu miongoni mwa wanaharakati na viongozi wa upinzani.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News