The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wakihutubia wanahabari Jijini Nairobi, Novemba 12, 2025. [Collins Oduor, Standard]
Mwanaharakati Bob Njagi amedai kuwa kutekwa nyara kwake pamoja na mwenzake Nicholas Oyoo nchini Uganda kulipangwa na serikali ya Kenya. Njagi ameeleza kwamba walikamatwa na kikosi cha kijeshi kinachofanya kazi chini ya uongozi wa Jenerali Muhoozi Kainerugaba wa Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF, huku akiongeza kuwa zaidi ya watu 150 wanazuiliwa bila kufikishwa mahakamani kwa sababu za kisiasa.
Akiwahutubia wanahabari, Njagi alisema kuna ushirikiano kati ya Kenya, Tanzania na Uganda katika kuwakandamiza wakosoaji wa tawala zao, jambo ambalo limeongeza hofu miongoni mwa wanaharakati na viongozi wa upinzani.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.