×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands of Readers
★★★★ - on Play Store
Download Now

Bob Njagi adai kutekwa nyara kwao kulipangwa na serikali ya Kenya

Wanaharakati Bob Njagi na Nicholas Oyoo wakihutubia wanahabari Jijini Nairobi, Novemba 12, 2025. [Collins Oduor, Standard]

Mwanaharakati Bob Njagi amedai kuwa kutekwa nyara kwake pamoja na mwenzake Nicholas Oyoo nchini Uganda kulipangwa na serikali ya Kenya. Njagi ameeleza kwamba walikamatwa na kikosi cha kijeshi kinachofanya kazi chini ya uongozi wa Jenerali Muhoozi Kainerugaba wa Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF, huku akiongeza kuwa zaidi ya watu 150 wanazuiliwa bila kufikishwa mahakamani kwa sababu za kisiasa.

Akiwahutubia wanahabari, Njagi alisema kuna ushirikiano kati ya Kenya, Tanzania na Uganda katika kuwakandamiza wakosoaji wa tawala zao, jambo ambalo limeongeza hofu miongoni mwa wanaharakati na viongozi wa upinzani.

Get Full Access for Ksh299/Week
Unlock the Full Story — Join Thousands of Informed Kenyans Today
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in