×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

JSC yawachunguza maafisa wa mahakama ambao awali wakisiliza kesi ya Paul Mackenzie

Sakata ya mahubiri yenye itakadi kali inayomkabili Mchungaji mwenye utata wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie sasa imechukua mkondo mpya baada ya Tume ya Huduma za Mahakama JSC kuanzisha uchunguzi kuhusu maafisa wake waliokuwa wakizisikiliza kesi dhidi ya mchungaji huyo.

Katika taarifa, JSC imesema inazikagua rekodi za faili za maamuzi ya kesi zote dhidi ya Mackenzie kubaini iwapo palikuwapo na dosari katika kufanya maamuzi.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in