The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Sakata ya mahubiri yenye itakadi kali inayomkabili Mchungaji mwenye utata wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie sasa imechukua mkondo mpya baada ya Tume ya Huduma za Mahakama JSC kuanzisha uchunguzi kuhusu maafisa wake waliokuwa wakizisikiliza kesi dhidi ya mchungaji huyo.
Katika taarifa, JSC imesema inazikagua rekodi za faili za maamuzi ya kesi zote dhidi ya Mackenzie kubaini iwapo palikuwapo na dosari katika kufanya maamuzi.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Uncover the stories others won't tell. Subscribe now for exclusive access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…