×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Read on the App

Mazungumzo baina ya Azimio na Kenya Kwanza kuanza leo

Mazungumzo yasiyo ya miegemeo Bipartisan baiana ya Chama cha Azimio na Muungano wa Kenya Kwanza yanatarajiwa kuanza leo Alhamisi.

Imebainika kwmaba mirengo hii miwili imeafikiana kuanza mazungumzo hayo, katika mkutano wa maridhiano uliofanyika jana muda mchache tu baada ya taarifa kuibuliwa kuwa mirengo hiyo miwili huenda ingefanya mikutano miwili tofauti leo hii kujadili mwelekeo wa mazungumzo hayo.

Get Full Access for Ksh299/Week
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in