The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mazungumzo yasiyo ya miegemeo Bipartisan baiana ya Chama cha Azimio na Muungano wa Kenya Kwanza yanatarajiwa kuanza leo Alhamisi.
Imebainika kwmaba mirengo hii miwili imeafikiana kuanza mazungumzo hayo, katika mkutano wa maridhiano uliofanyika jana muda mchache tu baada ya taarifa kuibuliwa kuwa mirengo hiyo miwili huenda ingefanya mikutano miwili tofauti leo hii kujadili mwelekeo wa mazungumzo hayo.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.