The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Shughuli ya usambazaji karatasi za kupigia kura ya ugavana katika Kaunti ya Mombasa imeanza huku mipango yote ikikaribia kukamilika.
Mapema leo hii masanduku ya kupigia kura yalifunguliwa ili kuthibitisha karatasi hizo inatekelezwa chini ya uangalizi wa maajenti wa wawaniaji wote 7 wa Ugavana wa Mombasa pamoja na wawaniaji wenyewe.
Baadaye wasimamizi wa vituo vyote 1,037 pamoja na manaibu wao watakabidhiwa vifaa hivyo vya kupigia kura.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…