Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Vifaa vya uchaguzi wa Ugavana Mombasa, vyasambazwa

Shughuli ya usambazaji karatasi za kupigia kura ya ugavana katika Kaunti ya Mombasa imeanza huku mipango yote ikikaribia kukamilika.

Mapema leo hii masanduku ya kupigia kura yalifunguliwa ili kuthibitisha karatasi hizo inatekelezwa chini ya uangalizi wa maajenti wa wawaniaji wote 7 wa Ugavana wa Mombasa pamoja na wawaniaji wenyewe.

Baadaye wasimamizi wa vituo vyote 1,037 pamoja na manaibu wao watakabidhiwa vifaa hivyo vya kupigia kura.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News