The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Idadi ya watu ambao wamefariki dunia kufuatia mlipuko wa bomu la kutegwa garini nchini Somalia imefika watu tisini. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa maafisa wa serikali nchini humo ni kwamba, watu wengine zaidi ya sitini wamejeruhiwa katika mlipuko huo uliotokea viungani mwa Jiji la Mogadishu.
Mmoja wa wabunge nchini humo kwa jina Abdirazak Mohammed amesema miongoni mwa waliouliwa ni maafisa kumi na saba wa polisi, na raia wanne wa taifa la Uturuki. Aidha basi lililokuwa na wanafunzi zaidi ya ishirini wa Chuo Kikuu cha Benadir limeharibiwa huku wanafunzi kadhaa wakifariki dunia.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.