Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Watu zaidi ya 90 wafariki kufuatia mlipuko wa bomu, Somalia

Idadi ya watu ambao wamefariki dunia kufuatia mlipuko wa bomu la kutegwa garini nchini Somalia imefika watu tisini. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa maafisa wa serikali nchini humo ni kwamba, watu wengine zaidi ya sitini wamejeruhiwa katika mlipuko huo uliotokea viungani mwa Jiji la Mogadishu. 

Mmoja wa wabunge nchini humo kwa jina Abdirazak Mohammed amesema miongoni mwa waliouliwa ni maafisa kumi na saba wa polisi,  na raia wanne wa taifa la  Uturuki. Aidha basi lililokuwa na wanafunzi zaidi ya ishirini wa Chuo Kikuu cha Benadir limeharibiwa huku wanafunzi kadhaa wakifariki dunia.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics

Somalia Wafariki