The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Kwa mara ya pili sasa katika historia ya taifa hili, maadhimisho ya shereza za kitaifa yamefanyika nje ya jiji la Nairobi. Baada ya maadhimisho ya Siku Kuu ya Madaraka kuandaliwa mjini Nakuru mwezi Juni mwaka uliopita, leo imekuwa zamu ya Kaunti ya Machakos kuandaa Sherehe za Mashujaa. Rais Uhuru Kenyatta ameziongoza sherehe hizo ambazo hazikuwa na hotuba ndefu ilivyo desturi huku akitoa ushauri wa kuendeshwa kwa siasa zinazohusu sera badala ya ukabila.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.