Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Kenya’s Boldest Voice
★★★★ - on Play Store
Download App

Joshua Otieno kushiriki mazoezi na akademia ya Hull City

Na Stephen Mukangai
Kiungo wa klabu ya Sony Sugar Joshua Otieno ameteuliwa kushiriki mazoezi na academia ya timu ya Hull City. Joshua Otieno ambaye aliingia uwanjani zikiwa zimesalia sekunde 17 mechi ikamilike hakusafiri na kikosi cha SportPesa All Stars na hivyo amebaki Hull City kwa majaribio. Joshua Oyoo mwenye umri wa miaka 17 ndiye mchezaji pekee mchanga katika kikosi cha SportPesa All Stars kilichoshiriki mechi ya kirafiki dhidi ya Hull City.

Katika tarifa zinazofungamana na hizo kocha wa timu ya taifa ya soka Kenya Harambee Stars Stanley Okumbi amewashauri Wakenya kuonesha mapenzi kwa wachezaji wao wakati wanapofanya vyema na wakati wanaposuasua. Akizungumza na wanahabari nchini England, Okumbi amesema kuwa wachezaji wa humu nchini wanafanya vibaya kutokana na shinikisho la mashabiki.
Kwa mujibu wa Okumbi Wakenya wana mazoea ya kuwatusi na kuwaponda wachezaji kila mara wanapoandikisha matokeo duni.
Aidha Okumbi amesema kuwa aliridhika na matokeo ya mechi kati ya klabu ya Hull City na timu ya Sportpesa All Stars, mechi ambayo Hull City ilipata ushindi wa magoli 2-1.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902