×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Msamaha wa Rais

Na Mike Nyagwoka

Rais Uhuru Kenyatta ametia saini stakabadhi za kugeuza hukumu zote za vifo kuwa hukumu za maisha. Baada ya hatua hiyo katika ikulu, takriban wafungwa 2747 sasa wameponea kunyongwa. Rais ametumia kipengee cha 133 kwenye katiba kinachompa mamlaka ya kuwasamehe na kuwapunguzia vifungo wafungwa katika magereza nchini.
Mwanasheria Mkuu wa serikali Professa Githu Muigai, Waziri wa Masuala ya Ndani, Joseph Nkaissery, Kamishna wa Magereza, Isaiah Osugo, Mkuu wa Utumishi wa Umma, Joseph Kinyua na mwenyekiti wa Kamati ya Msahama wa Rais, Michael Kagika wamehudhuria hafla hiyo.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in