×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mvutano wazidi kushuhudiwa katika tume ya EACC

Na, Sophia Chinyezi

Tofauti zinaendelea kuibuka kuhusiana na hoja zilizowasilishwa na mwanaharakati mmoja kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi EACC, Phillip Kinisu. Kinisu anachunguzwa kufuatia madai kwamba kampuni yake ya Esaki ililipwa zaidi ya shilingi milioni thelathini na tano kupeleka vifaa vya kuchimba kisima katika Taasisi ya Taifa ya Huduma za Vijana NYS, kati ya mwezi Oktoba 2014 na Novemba 2015.

Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in