The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Wenyeji wa Lamu wanatoa tahadhari kwa kuendelea kwa ujenzi katika milima ya Shella Lamu ambako ni vyanzo vya maji masafi kwa wenyeji 30,000 wanaoishi kisiwani humo, na kama anavyoripoti Anne Ngugi aliyezuru kisiwani humo hivi maajuzi wasiwasi mkubwa kwa wenyeji ni kuwa mabwenyenye kutoka nje ya nchi na vigogo wakuu serikalini wanaendelea kunyakua ardhi eneo hilo na kutishia matumizi ya maji masafi katika siku zijazo. Sasa wanataka milima ya Lamu kulindwa kupitia gazeti rasmi la serikali ili itambulike sawia na msitu wa mau.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
🔥 Easter Sale Ends Tonight!
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…
Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.
Journalism can't be free because the truth demands investment.
At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate,
factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the
pursuit of credible journalism.