Please enable JavaScript to view advertisements.
×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Sehemu ya barabara ya Mombasa na Nairobi yafungwa eneo la Athi River kwa ukarabati

Msongamano mkubwa wa magari umeshuhudiwa kwenye barabara kuu ya Mombasa-Nairobi kufuatia kufungwa kwa sehemu ya barabara hiyo katika daraja la Mto Mawe eneo la Athi River kufuatia ukarabati unaoendelezwa.

Kwa mujibu wa OCPD wa Machakos Joseph Tenai, wahandisi wa kampuni ya kukarabati barabara ya Uchina wanaendelea kukarabati sehemu ya daraja hilo, na kuwashauri wamiliki wa magari madogo kutumia barabara ya Kangundo-Machakos.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Follow The Standard on Google News

Related Topics