×
App Icon
The Standard e-Paper
Stay Informed, Even Offline
★★★★ - on Play Store
Download App

Washukiwa wa shambulio JKIA waondolewa mashtaka

 
Na, Sophia Chinyezi
Washukiwa wa shambulio JKIA waondolewa mashtaka
Wanaume wanne walioshtakiwa kwa kutekeleza shambulio la kigaidi katika mkahawa wa Java kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Jomo Kenyatta mnamo tarehe 16 Februari mwaka 2014, kutumia kilipuzi, wameondolewa mashtaka yaliyokuwa yakiwakabili.
Hassan Abdi Mohammed, Mohammed Osman Ali, Yusuf Warsame na Garad Hassan Fer ambao awali polisi walikuwa wamewataja kuwa wanachama wa kundi la Al Shabaab wameondolewa mashtaka hayo na Hakimu Roselyn Oganyo, kwa ukosefu wa ushahidi.
Upande wa mashtaka ulisema polisi walishindwa kuthibitisha mashtaka waliyoibua dhidi ya wanne hao, ukisema hata hiyo ulikwenda kinyume na katiba.
Hakimu Oganyo amewaondolea mashtaka kumi na mawili yaliyokuwa yakiwakabili, kukiwamo kuwa nchini kinyume na sheria na kumiliki vilipuzi.
Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Bold Reporting Takes Time, Courage and Investment. Stand With Us.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902

Related Topics