×
App Icon
The Standard e-Paper
Smart Minds Choose Us
★★★★ - on Play Store
Download App

Mabaki zaidi ya ndege yapatikana Nakuru

Na, Sarah otieno
Mabaki zaidi ya ndege yapatikana Nakuru
Mabaki zaidi ya ndege iliyoanguka katika Ziwa Nakuru na kusababisha vifo vya abiria watano, yamepatikana pamoja na nguo zinazoshukiwa kuwa za waliokuwa katika ndege hiyo.
Mabaki hayo yamegunduliwa na wapigambizi ambao wamekuwa wakiendesha shughuli za kusaka mili iliyosalia. Kufikia sasa ni mili mitatu pekee iliyopatikana miongoni mwa mitano, ukiwa takriban mwezi mmoja sasa tangu ndege hiyo ianguke.
Siku ya Ijumaa wiki iliyopita, mwili wa Veronica Muthoni ambaye alikuwa mmoja wa abiria katika ndege hiyo ulipatikana. Mili mingine ambayo tayari ilipatikana na kuzikwa ni ya aliyekuwa rubani, Apollo Malowa na Anthony Kipyegon. Mili ambayo haijapatikana ni ya Sam Gitau na John Mapozi.
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact‑first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in

Related Topics