×
App Icon
The Standard e-Paper
Join Thousands Daily
★★★★ - on Play Store
Download App

Askofu Wanjiru kusalia korokoroni kwa siku 5, zaidi

Na Beatrice Maganga

Mwaniaji ugavana kwenye Kaunti ya Nairobi, Askofu Margaret Wanjiru ataendelea kusalia korokoroni kwa siku tano zijazo baada ya mahakama kupinga ombi lake la kuachiliwa kwa dhamana. Wanjiru alifikishwa mahakamani mapema leo akikabiliwa na tuhuma za kuzua vurugu na kuharibu mali, mashtaka ambayo ameyakana.
Wanjiru ni mmoja wa wanaowania ugavana kwa tiketi ya Jubilee, Kaunti ya Nairobi.
Alikamatwa jana baada ya yeye na wafuasi wake kukivamia kituo cha kura cha City Park na kuharibu karatasi za kupiga kura.

Premium Article

Get Full Access for Ksh299/Week.

Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
Continue Reading  →
What you get
  • Unlimited access to all premium content
  • Ad-free browsing experience
  • Mobile-optimised reading
  • Weekly newsletters & digests
Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payments Kenya's most trusted newsroom since 1902
Support Independent Journalism

Stand With Bold Journalism.
Stand With The Standard.

Journalism can't be free because the truth demands investment. At The Standard, we invest time, courage and skills to bring you accurate, factual and impactful stories. Subscribe today and stand with us in the pursuit of credible journalism.

Pay via
M - PESA
VISA
Airtel Money
Secure Payment Kenya's most trusted newsroom since 1902