×
App Icon
The Standard e-Paper
Home To Bold Columnists
★★★★ - on Play Store
Download App

Charles III Atawazwa rasmi kuwa Mfalme wa Uingereza

Hatimaye Charles II mwenye umri wa miaka 74, ametawazwa kuwa Mfalme wa Uingereza. Shughuli ya kumtawaza mfalme huyo wa Uingereza imefanyika huku utawala wa kifalme nchini humo ukikabiliwa na upinzani.

Mfalme Charles wa tatu akichukua utawala kutoka kwa mamake Malkia Elizabeth wa, aliyefariki dunia Septemba mwaka jana baada ya kutawala kwa takriban miaka sabini.

Get Full Access for Ksh299/Week
Uncover the stories others won’t tell. Subscribe now for exclusive access
  • Unlimited access to all premium content
  • Uninterrupted ad-free browsing experience
  • Mobile-optimized reading experience
  • Weekly Newsletters
  • MPesa, Airtel Money and Cards accepted
Already a subscriber? Log in