The Standard Group Plc is a
multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper
print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key
influence in matters of national and international interest.
Mwanapatholojia Mkuu wa serikali Johansen Oduor leo Alhamisi anatarajiwa kijijini Shakahola, Kaunti ya Kilifi ambapo ataongoza shughuli ya ufukuzi wa mili 16 inayoaminika kuzikwa katika msitu mmoja kwenye eneo hilo.
Mili hiyo inaaminika kuwa ya wafuasi wa muhubiri mweney utata wa Kanisa la Good News International Paul Mackenzie.
Premium Article
Get Full Access for Ksh299/Week.
Fact-first reporting that puts you at the heart of the newsroom. Subscribe for full access.
🔥 Flash Sale !
Subscribe now and enjoy 50% off monthly and annual plans. Offer ends in…