×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Rigathi aitaka DCI kutoingiza siasa katika uchunguzi wa kifo cha mwanawe Sankok

News

Mbunge wa Mathira, Ragathi Gachagua ameitaka Idara ya Upelelezi, DCI kukoma kuingiza siasa katika uchunguzi wa kifo cha mwanawe Mbunge Maalumu, David Ole Sankok.

Badala yake, Gachagua ameitaka DCI kuruhusu familia ya Sonkok kuomboleza kifgo cha Mumesi Sanko ambaye anadaiwa kujiua kwa kujipiga risasi wiki iliyopita nyumbani kwao.

Akizungumza leo alipoifariji familia ya Sankok, Gachagua amesema licha ya kuwa uchunguzi haujakamilika \DCI inastahili kuendeleza uchunguzi wa kimya na kukoma kuendelea kuishinikiza familia kurekopdi taarifa zaidi.

Sankok alihojiwa kwa mara ya pili siku ya Alhamisi kuhusu kifo cha mwanawe sawa na baadhi ya watu wa familia yake.

Polisi wanaendelea kuchunguza bunduki mbili za Sankok shotgun na Ceska kubaini ni ipi marehemu mwenye umri wa miaka kumi na mitano anadaiwa kuitumia kujiua.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week