×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Muungano wa KUDHEIHA watoa notisi ya mgomo

News

Muungano wa Wafanyakazi wa Hoteli, Taasisi za Elimu na Hospitali, KUDHEIHA umetoa notisi ya mgomo ya siku 14 kwa usimamizi wa Chuo Kikuu cha Egerton kutekelezwa kwa mkataba wa makubaliano baina yao.

Katibu Mkuu wa Chama hicho Albert Njeru ameulamu usimamizi kwa kushindwa kuwalipa wafanyakazi.

Muungano huo sasa unataka chuo hicho kutekeleza makubaliano hayo la sivyo wagome kufikia tarehe 31 mwezi huu.

Haya yanajiri huku Muungano wa Wafanyakazi wa Vyuo Vikuu UASU ukitoa notisi kwa Chuo hicho cha Egerton kuanza kuwapa wafanyakazi wake mishahara yote lasi sivyo wagome kufikia mwisho wa mwezi huo.

Chuo hicho kimekukuwa kikikumbwa na changamoto za kifedha huku ikidaiowa mamilioni ya fedha na hata kusababishwa kufungwa kwake mara kadhaa.

Related Topics


.

Trending Now

.

Popular this week