×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Singer Hussein Machozi balling in Italy, denies marrying old mzungu

News
 [Photo: Courtesy]

Tanzanian superstar Hussein Machozi has denied claims that he is dating an old mzungu in Italy where he currently resides.

Speaking candidly to Global Publishers, Machozi - real name Hussein Rashid Maaarufu - said that to the contrary, he is six years older than his European lover.

He explained that he is not the kind of man to live off women and those peddling the rumours were jealous that he is living the good life in Italy.

“Wanaosema hivyo wanajua mimi na mke wangu tuna miaka mingapi? Nimemzidi miaka sita halafu anilee kwani mimi sina mikono wala miguu ya kutoka na kwenda kupambana na maisha eti kisa naposti sana nipo nyumbani na mtoto wangu basi sina kazi najua kinachowasumbua ni wivu Wabongo tuna wivu na chuki,” said Machozi.

 [Photo: Courtesy]

How did they meet? Well…

“Tulikutana kwenye sherehe ya rafiki yangu huku Italia ndiyo nikamwelewa mtoto nikaona nafaa kuishi naye.

“Hajui Kiswahili wala Kingereza lakini nikasema wacha nioneshe kuwa mimi ni Mbongo haswa sishindwi kitu nikamuonesha ishara pale zile kibubu bubu mara hee mtoto kashaingia laini yaani hadi sikuamini kama alinielewa kuna muda naona kama Mungu tu alimleta,” he said.

 [Photo: Courtesy]

The Kwa ajili yako hit maker disclosed that he was enjoying his stay in Italy and relishing each moment.

"Tayari nimeshazoea japokuwa mara ya kwanza ilikuwa inaniwia vigumu sana kuishi mazingira ya huku na mtihani mkubwa ulikuwa chakula na lugha lakini kwa sasa hakuna kinachonisumbua nimeshapata chakula nachokiweza basi sasa burudani tu," said the singer.

 [Photo: Courtesy]

Hussein Machozi also spoke on whether he was considering becoming a citizen while at the same time reiterating that his music hiatus was a calculated move.

Nitakaaje nchi ya watu halafu nisiwe raia wa huku jamani mimi ni raia wa huku ila siwezi kusema kama ni moja kwa moja au la ila ni raia wa huku na ni Mtanzania pia...

“Nimekaa kimya yaani sijatoa ngoma kwa sababu ngoma zangu bado zinapigwa na wanaopiga hata hawanipi shilingi kumi bado wanaendelea kufaidi muziki wangu mzuri, kwa hiyo nimetulia nina maana yangu lakini siyo kwamba nimeacha muziki hapana nipo bize natengeneza albamu ambayo natarajia kuiachia hivi karibuni.”

Related Topics


.

Popular this week

.

Latest Articles