
Msanii wa kike kutoka Tanzania Rehema Chalamila ukipenda Ray C baada ya kukamilisha mfungo wake wakujinasua kutokana na madawa ya kulevya yaani rehab kutoka,serikali ya Tanzania ilimkabidhi fursa ya kuelekea marekani kwa mapumziko kwa zaidi ya miezi mitatu kwa ajili ya kumuepusha na uraibu uliompelekea yeye nusura kupoteza maisha yake.
Rais Kikwete aliweza kumfadhili na daktari wa kibinafsi pamoja na ziara hio ya marekani...Ray C anatarajia kuangusha kazi yake mpya hivi karibuni.
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media
platforms spanning newspaper print
operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The
Standard Group is recognized as a
leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and
international interest.