×
The Standard Group Plc is a multi-media organization with investments in media platforms spanning newspaper print operations, television, radio broadcasting, digital and online services. The Standard Group is recognized as a leading multi-media house in Kenya with a key influence in matters of national and international interest.
  • Standard Group Plc HQ Office,
  • The Standard Group Center,Mombasa Road.
  • P.O Box 30080-00100,Nairobi, Kenya.
  • Telephone number: 0203222111, 0719012111
  • Email: [email protected]

Ray C is back

Local News

Ray C

Msanii wa kike kutoka Tanzania Rehema Chalamila ukipenda Ray C baada ya kukamilisha mfungo wake wakujinasua kutokana na madawa ya kulevya yaani rehab kutoka,serikali ya Tanzania ilimkabidhi fursa ya kuelekea marekani kwa mapumziko kwa zaidi ya miezi mitatu kwa ajili ya kumuepusha na uraibu uliompelekea yeye nusura kupoteza maisha yake.

Rais Kikwete aliweza kumfadhili na daktari wa kibinafsi pamoja na ziara hio ya marekani...Ray C anatarajia kuangusha kazi yake mpya hivi karibuni.

 

 

Related Topics


.

Popular this week

.

Latest Articles